ilani ya uchaguzi ccm 2020 2025 pdf
Alisema Kamati Kuu ya CCM ilifanya kazi yake na kuwasilisha nyaraka hizo mbili na NEC ilipitisha ilani ya chama hicho kwa mwaka 2020-2025 pamoja na mwelekeo wa CCM kwa mwaka 2020-2030. Magufuli. CTRL + SPACE for auto-complete. Chadema Manifesto of General Elections for President, Members of Parliament and Councilors for the year 2020 – 2025 have been temporarily formed foundations of philosophy, ideology as well as the purpose of establishment for Chadema, as explained in detail in Chapter 3 and Chapter 4 of the Chadema Constitution (2019 Edition). Press alt + / to open this menu. Katika usafiri wa anga anasema wanatarajia kununua ndege mpya tano na kati ya hizo mbili zitakuwa za masafa marefu, mbili za masafa ya kati na moja ya mizigo. Kwa upande wa barabara mipango ki kuendelea kuunganisha barabara katika mikoa ambayo bado haijaunganishwa ikiwemo ujenzi wa kilomita 359 kutoka Mpanda – Tabora. Magufuli. Aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Katibu Mkuu wa … kutekeleza kipaumbele hicho ni kuhakikisha miradi mikubwa ya kimkakati inaajiri vijana wengi zaidi wa Kitanzania. Katika kipindi cha Ilani hii ya 2015-2020, Chama Cha Mapinduzi kitaielekeza Serikali yake kuiendeleza Sekta ya Mifugo kwa kuchukua hatua zifuatazo:-(a) Kuongeza uzalishaji wa mitamba kwenye mashamba inakozalishwa na kuweka mazingira wezeshi kwa ilani ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) Tafadhali bofya hapa kujipatia Ilani ya Chadema. Magufuli. Uchaguzi 2020 Ilani za Uchaguzi: CCM na CHADEMA zinakubaliana kwenye Bima kwa Wote, Maslahi ya Wafanyakazi na Bei nzuri za mazao! UFAFANUZI WA HOTUBA YA UPOTOSHAJI YA MHE. “Tumefanya yaliyo mazuri kwa wananchi wetu ndiyo maana tunaomba tena miaka mitano tuendelee kufanya mazuri… tupeni tena miaka mitano tukafanye makubwa zaidi,” anasema Dk. Miaka mitano hii ni kipindi ambacho tulishuhudia wavuvi wakichomewa nyavu zao, kuanzia pwani ya Bahari ya … “Yote ambayo hatukuyamaliza tutakwenda kuyatekeleza na tuelewe kwamba tukisema tunatekeleza. Andika hapo. Katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba CCM Zanzibar inataraji kupata Sura mpya katika nafasi ya urais baada ya Rais wa sasa dokta Mohammed Shein … Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa vyama vya TANU na ASP na baadae CCM, imejengwa katika misingi ya ujamaa na kujitegemea inayozingatia utu, usawa na haki. CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kukusanya maoni ya wananchi ya namna ya kuboresha maisha yao, ili yaingizwe kwenye Ilani ya uchaguzi ya 2020-2025. Magufuli. Accessibility Help. Mgombea Viti Maalumu Dodoma, Fatma Tawfiq anasema; “Kura za wanawake na wakwe zetu wote utazipata kwa sababu mambo mengi sana umetufanyia, tutaongea na waume zetu, watoto wetu na ndugu zetu. “Tunajua tumejenga msingi mkubwa, tumeanzisha miradi mingi sina uhakika kama mkichagua zaidi ya CCM kuna watakaokuja kuiendeleza, tuangalie mahali tulipotoka, tulipo na tunapoelekea. “Mabadiliko ya kuona kero zao mbalimbali zinashughulikiwa, katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Serikali ya Awamu ya Tano imejitahidi kukata kiu hiyo ya kuleta mabadiliko nchini. Magufuli anasema eneo la umwagiliaji litaongezwa kutoka hekta 511,383 hadi kufikia milioni 1.2 sambamba na kuimarisha huduma za ugani na vyama vya ushirika. Katika Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu wa 2020, chama hicho kimeainisha vipaumbele sita vitakavyotekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Vipaumbele vitakavyotekelezwa katika miaka mitano ijayo ni pamoja na kulinda na kuimarisha misingi ya utu, usawa haki na uongozi bora ili kudumisha amani, umoja na mshikamano wa taifa, kukuza uchumi wa kisasa, fungamishi, jumuishi na shindani uliojengwa katika msingi wa viwanda, huduma za kiuchumi na miundombinu wezeshi. #NiMagufuliTena 2020 - 2025 | 08 Wanasubiri siku ya uchaguzi tu,” alisema Dkt. “Tumeweza kufanya kwa kiwango cha kutosha, tumeweza kutekeleza kwa kishindo kwa maana hiyo kishindo hiki lazima kiendelee. Mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya afya ni pamoja na kupungua kwa vifo vya watoto wachanga kutoka 25 hadi 7 kwa kila vizazi hai 1,000 na kupungua kwa rufaa za nje. Naye Dk. Mafanikio mengine ni kuzalishwa ajira zaidi ya milioni 6 na kufanikiwa kupunguza umaskini wa kipato kwa asilimia 26.4. Mkakati mwingine ni kuwawezesha vijana wanaohitimu elimu ya juu na vyuo vya ufundi kuunda makampuni kwa lengo la kuwapatia mitaji na nyenzo kupitia taasisi za fedha na mifuko mingine ya uwezeshaji. “Tutaimarisha jitihada za kukuza uchumi kwa kuboresha sera za uchumi na sera za fedha na kupunguza viwango vya riba, tutahakikisha uchumi unakua kwa wastani wa asilimia nane kwa mwaka,” anasema Dk. Akizungumzia usafiri wa majini anasema wameboresha bandari za Dar es Salaam, Mtwara, Tanga na maziwa ya Victoria, Tanganyika na Nyasa kwa kupanua bandari zake sambamba na kukarabati na kujenga meli 5. Mikakati mingine ni kuimarisha utekelezaji wa Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji Nchini ili shughuli za uchumi na biashara ziongezeke na kuzalisha ajira. ... ILANI YA CHADEMA 2020-2025 Pakua na na kusoma Ilani ya Chadema 2020-2025 hapa. Hussein Mwinyi, anasema atafanya kazi ya kuendeleza pale alipoishia Dk. Magufuli mafanikio mengine ni kupungua kwa mfumuko wa bei kutoka asilimia 6.1 hadi asilimia 4.1 huku fedha za kununua bidhaa na huduma kwa miezi sita zikiongezeka kutoka Dola bilioni 4.4 hadi Dola bilioni 5.168. Gharama za kuunganisha umeme zimepungua kutoka Sh 177,000 hadi Sh 27,000 hatua iliyowezesha kusambaza umeme katika vijiji 9,570 kutoka vijiji 2,218. Anasema watanunua meli ya kubeba mizigo katika Bahari ya Hindi, kujenga meli tatu na kununua meli ya kubeba mabehewa ya treni. Katika sekta ya maji, Dk. Started by johnthebaptist Oct 22, 2020 JIUNGE NA "BREAKING NEWS!" Dk. Ali Mohamed Shein kwa kasi zaidi. Barabara nyingine ni ile ya Manyoni – Tabora – Mpanda – Kigoma – Nyakanazi na ile ya Lupilo – Malinyi – Kilosa pamoja na madaraja makubwa 7 yakiwemo ya Busisi na Salenda. “Tutachapa kazi usiku na mchana kuhakikisha Watanzania wanamuelewa na Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kubaki madarakani. Wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM.. - J.K. Nyerere. Baadhi ya wagombea wa chama hicho katika majimbo mbalimbali wanamhakikishia Dk. Vilevile, maudhui ya Ilani hii yamezingatia Mwelekeo wa Sera za Chama Cha Mapinduzi wa 2020-2030, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 na Dira ya Maendeleo ya Zanzibar 2020-2050. Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Serikali imetumia Sh trilioni 1.9 kutoa elimu bila malipo huku mikopo ya elimu ya juu ikiongezeka kutoka Sh bilioni 348.7 (2014/15) hadi kufikia Sh bilioni 450 (2020/21). Kuna dunia ya nchi za Kaskazini ambazo zimeendelea, na dunia ya nchi za Kusini zilizo nyuma. NA MALENGO YA MWAKA 2015 – 2020 18. “Lazima sote kwa umoja wetu tuhakikishe kwamba siku ya uchaguzi tunajitokeza kwa wingi kupiga kura na bila shaka tutashinda kwa kishindo,” anasema Dk. Makala haya yanaangazia vipaumbele hivyo na mambo muhimu yatakayozingatiwa katika kuvitekeleza. Dk. Ilani Ya Chadema 2020-2025 PDF Download Here. Ilani ya CCM 2015-2020.pdf. You have entered an incorrect email address! © New Habari (2006) Ltd. Haki zote zimeifadhiwa. Magufuli anasema wamejenga kilomita 3,500 za lami na kwamba kilomita 2,200 zinaendelea kujengwa sambamba na madaraja 13. Ilani Ya Ccm 2020 by BASHIR NKOROMO. Mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan, anasema miaka mitano iliyopita wameweza kutekeleza kwa kishindo yale waliyoahidi na kwamba kishindo hicho kitaendelea kwa miaka mingine mitano. Magufuli anasema uchumi umeendelea kukua kutoka asilimia 6.9 hadi 7 huku Pato Ghafi la Taifa likiongezeka kutoka Sh trilioni 94.349 (2015) hadi kufikia Sh trilioni 139.9 (2019). Mgombea urais wa Zanzibar, Dk. ILANI YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, OKTOBA 31, 2010. Mwinyi alitumia nafasi hiyo kumshukuru Rais wa Zanzibar, Dkt. kwenye Ilani yetu ya Uchaguzi wa mwaka 2020 - 2025, tutaendelea pia kutekeleza na kusimamia mambo yote niliyoeleza wakati nikizindua Bunge la 11, tarehe 20 Novemba, 2015. Dunia ya leo imegawanyika katika maeneo mawili makubwa. Aidha miradi ya maji 1,423 imekamilishwa na mingine inaendelea kutekelezwa sehemu mbalimbali nchini ikiwemo ya kupeleka maji katika miji 28 inayotekelezwa kwa Sh trilioni 1.2. Januari— Machi 2020 Pendekezo Ilani ya Uchaguzi 2020-2025 kuwanufaisha wafugaji Dodoma Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dodoma Mhe. Kwa mujibu wa Dk. CCM katika ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 imesema itabuni na kutekeleza mikakati ya kuongeza na kukuza wigo wa mazao ya utalii ili kufikia watalii milioni 5 kwa mwaka kufikia mwaka 2025 na kuongeza mapato kutoka Dola za Marekani bilioni 2.6 (Sh6.1 trilioni) mwaka 2020 hadi Dola za Marekani bilioni 6 (Sh13.9 trilioni) mwaka 2025. Ashatu Kijaji (Kondoa), anamshukuru Dk. John Magufuli ametangazwa kuwa mshindi wa Urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020, baada ya kupata kura za kishindo dhidi ya wagombea wote 14, akiwemo wa Chadema Tundulisu aliyemfuatia kwa mbali baada ya kupata kura 1,933,271. Godwin Mkanwa akimkagua mbuzi aliyechinjwa katika machinjio ya mnada wa Bicha wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi uliofanywa na kamati ya siasa Mkoa wa Dodoma hivi karibuni. Ali Mohamedi Shein kwa kufanya kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2010 – 2025 ambayo imekirahishia Chama hicho kazi ya … Anasema pia kutokana na kutungwa kwa sheria ya kulinda rasilimali za taifa mwaka jana sekta ya madini iliongoza kwa kukua kwa asilimia 17.7 huku mapato yakiongezeka kutoka Sh bilioni 168 (2014/15) na kufikia Sh bilioni 528 (2019/20). Tags featured# siasa# Share This . Kama mtakavyokumbuka, kwenye Hotuba hiyo ya kuzindua Bunge la 11 nilieleza mambo mengi … This Blog Designed and Developed By Bashir Nkoromo |, ILANI YA CCM YA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020. ILANI YA ACT WAZALENDO KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU 2020 wa mazao ya biashara kama Korosho, Pamba na Tumbaku, au wa mazao ya chakula kama Ufuta, Mbaazi na Mahindi. “Mwaka huu kura zinamwagika tutahakikisha unapata nyingi, ndugu zangu wa Dodoma aliyofanya Magufuli kama ninyi hamtasema mawe yataongea,” anasema Mavunde. Hatua nyingine ni kuimarisha mifumo na kuongeza kasi ya kurasimisha ujuzi ili nguvu kazi ya taifa itumike ipasavyo katika soko la ajira la ndani na nje. Aidha mradi wa Kinyerezi 11 unatarajiwa kuzalisha megawati 240 huku ule wa Kinyerezi 1 ukitarajiwa kuongeza megawati 325 kutoka 190 za sasa. Magufuli kuwa kutokana na kazi kubwa aliyoifanya wana deni kubwa la kumpa kura. ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020 utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015. Magufuli anasema watahakikisha asilimia 90 ya Watanzania wanapata huduma ya maji safi na salama. Aidha, Ilani hii imezingatia fursa na changamoto Mambo mengine yatakayozingatiwa ni kuwawezesha vijana kushiriki katika shughuli za ujasiriamali ikiwemo kuwapatia mafunzo na kuwaunganisha na taasisi na asasi za utoaji mikopo yenye riba na masharti nafuu. Katibu Mkuu CCM, Ally Bashiru amesema Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020 inakurasa zaidi ya 300 Ikieleza Utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa miaka tano iliyopita na Uelekeo wa Miaka tano ijayo. Aidha, Dkt. Dk. Magufuli uandikishaji darasa la kwanza umeongezeka kutoka wanafunzi milioni 1 hadi milioni 1.6, wanafunzi msingi wakiongezeka kutoka milioni 10.2 hadi milioni 12.6 na wale wa kidato cha kwanza hadi cha nne wakiongezeka kutoka milioni 1.6 hadi milioni 2.1. Pia kuimarisha mifumo ya taarifa za soko la ajira na mitaji ili kuwezesha vijana kutumia fursa hizo, kutoa mafunzo ya kukuza ujuzi na stadi mbalimbali za kazi kwa nguvu kazi ya taifa katika sekta za kipaumbele. Vipaumbele vingine ni kuleta mageuzi ya kilimo, mifugo na uvuvi ili kuwa na uhakika wa chakula wakati wote na kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya uchumi, kuimarisha upatikanaji wa huduma bora za afya, elimu, maji, umeme na makazi vijijini na mijini.