mkuu wa wilaya ya arusha
Nane, Mhe. Mkoa wa Kilimanjaro una wilaya 7 ambazo ni: Hai, Mwanga, Moshi mjini, Moshi vijijini, Rombo na Same na ile mpya ya Siha. Rais Magufuli leo amemwapisha Idd Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha anayechukua nafasi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Mrisho Gambo baada ya kutenguliwa Juni 19, 2020. Mkoa wa Arusha ni mmojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 23000 , na ni wa pili kwa utajiri nchini. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare akimuapisha Bakari Msulwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Ikulu jijini Dar es Salaam. 3050, arusha. ACP Edward Balele akizungumza na baadhi ya watendaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii na wataalam kutoka TAWA, TANAPA na TAWIRI kuhusu namna ya kutatua changamoto ya uvamizi wa tembo kwenye eneo la ushorobo la vijiji vya Makuyuni, Wilayani Monduli katika kikao kilichofanyika leo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli. Mwenge wa Uhuru 2017 Wilaya ya Arusha mjini, Chini ya Uongozi Mkuu Wa Wilaya ya Arusha Mjini ndugu Gerald Fabian Daqaro Mkurugenzi Wa Jiji La Arusha Athman ki... hamia Katibu tawala Arusha Mjini ndugu David Mwakiposa Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. simu na. Michuano ya Arusha Super Cup & Bonanza iliyoanzishwa na kuzinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mheshimiwa Kenani Kihongosi jumapili iliyopita inaendelea leo katika viwanja mbalimbali. Abbas Kayanda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha. 250 2270/2502272/2502289. # Arusha # Askari polisi wa zamani, William Joseph (44) mkazi wa Muriet jijini Arusha na mkewe, Doricas Michael wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka matano likiwemo la uhujumu uchumi. Arusha. Lazaro Jacob Twange kuwa Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara. TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. Na. Wakati huohuo hapohapo Ikulu, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Idi Kimanta, amemwapisha Kenan Kiongosi, kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha. Simu Nyingine: 027 254 4950 . Ukaribisho, VIONGOZI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO, Mpango Mkakati wa Ukuzaji na Uboreshaji wa Elimu, Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Rais Magufuli amemteua Bw. Baada ya hafla hiyo, Rais Magufuli aliwataka walioapishwa kwenda kufanya kazi kulingana na viapo vyao na kujiepusha na mambo binafsi ambayo huvuruga utendaji wa kazi za serikali. Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Kenani #Kihongosi aapishwa Rasmi kuwa Mkuu wa Wilaya ya ARUSHA - Ikulu Dar es salaam #DcArusha #Kenani. Kabla ya uteuzi huo, Bw. WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021, BOFYA HAPA KUONA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2020, Primary Education Management System (PREM), Taarifa za Bajet za Halmashauri (PLANREP), Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini. Anamringi Macha amezindua mradi wa Maji katika vijiji vya Iramba na Igwamanoni kata ya Igwamanoni halmashauri ya wilaya ya Ushetu uliotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kwa gharama ya shilingi milioni 365.7 ukitarajiwa kunufaisha wananchi zaidi ya 5,214. Mkuu wa Wilaya Ya Arusha Mh Kenani Kihongosi ameongoza jogging leo akiwa na wananchi wa Jiji la Arusha, amesisitiza Umoja Amani na Utulivu pia wananchi kujitolea kushiriki katika shughuli za Kizalendo. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers. Mkuu wa wilaya ya Arusha,Kenani Kihongosi akipewa maelezo ya mradi wa maji wa bilioni 520 na mratibu wa mradi huo kutoka Auwsa,Injinia Gasto Mkawe. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia), akizungumza na Afisa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Wilaya ya Karatu, Madina Bwando, wakati alipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo, kabla ya kuanza kwa ziara yake Wilayani humo, leo. Ziwa la Viktoria Nyanza liko kaskazini.. Makao makuu ya mkoa yapo Geita mjini.. Kabla ya kuanzishwa mkoa mpya wa Geita, eneo hili lilikuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza ambao ulikuwa na wakazi 2,942,148 (sensa ya mwaka 2002) katika wilaya 8 … Mkuu wa Wilaya ya Arusha akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Arusha amegomea ujenzi wa mabweni katika shule ya Sekondari Corona ambayo yamegharimu shilingi Milioni 160 na hayajakamilika.Mkuu wa Wilaya Amesema Takukuru wachunguze ujenzi huo na hatua zichukuliwe kwa wahusika watakaobainika wamehujumu fedha za Serikali.Pia Mkuu wa Wilaya ameagiza utaratibu unaotolewa na Tamisemi uzingatiwe katika usimamizi wa fedha za miradi ya shule pia Kamati za shule zihusishwe.Mkuu wa Wilaya ameonya baadhi ya watumishi wa idara ya Elimu kuingilia Kamati za ujenzi za shule kinyume na utaratibu wa serikali.Sambamba na hilo Mkuu wa Wilaya Amesema watu wanaohusika na manunuzi lazima wajitathimini la sivyo watachukuliwa hatua kali za Kisheria endapo itabainika wamefanya kinyume na utaratibu.Pia Mkuu wa Wilaya amesema wakuu wa shule watoe taarifa kwa Serikali endapo utaratibu unakiukwa kwani tatizo likitokea Hawatobaki salama.Mwisho mkuu wa Wilaya amesisitiza watumishi wa Serikali kuwa macho na fedha za Serikali, wasimamie kwa uadilifu mkubwa. jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mkoa wa arusha kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (regional consultative committee – rcc) wa arusha cha tarehe 16/02/2017 katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa arusha ofisi ya mkuu wa mkoa, s.l.p. Mkuu wa wilaya ya Arusha Fadhili Nkurlu amesimamisha shughuli za uchimbaji katika machimbo ya moramu katika kata ya Moshono Mkoani Arusha kwa kipindi cha mwezi mmoja kupisha wakandarasi kuweka sawa machimbo hayo ambayo yanachimbwa bila kufuata utaalamu hali ambayo inadaiwa inaweza kuhatarisha uhai wa maisha yao. Mkuu wa wilaya ya Arusha,,Gabriel Daqarro ameipongeza Taasisi ya Foundation For Tomorrow kwa kazi nzuri wanayoifanya katika kuhamasisha maswala ya elimu katika Mkoa wa Arusha . HOTUBA YA RAIS MAGUFULI (KWA UFUPI) Nami niungane Kumpongeza Mkuu wa Mkoa Mpya Wa Arusha na Wakuu wa Wilaya waliochaguliwa na Wakurugenzi Wawili. Mkuu wa Mkoa BONYEZA HAPA K... Humphrey Shao, Globu ya Jamii ASASI ya Kiraia inayojihusisha na masuala ya kijamii na utetezi wa haki za binadamu (ADOR) imesema kuwa m... Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein akikunjuwa Kitambaa kuashiria Uwekaji wa Jiwe la msingi Je... Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akionyeshwa ratiba ya muda wa mabasi kusafiri na Mkaguzi wa Magari wa ... MKUU WA WILAYA YA ARUSHA AGOMEA MABWENI AAGIZA TAKUKURU WACHUNGUZE UBADHIRIFU WA FEDHA ZA SERIKALI, TAZAMA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018 NA MATOKEO YA DARASA LA NNE 2018, NECTA YA TANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019, YATAZAME HAPA, MCHANGE AWAVAA WAPINZANI WANAOPOTOSHA MSWAADA WA VYAMA VYA SIASA, RAIS WA ZANZIBAR DKT.SHEIN AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO JIPYA OFISI YA ZURA ZANZIBAR, WAZIRI SIMBACHAWENE ALISIMAMISHA BASI LILILOKUWA MWENDOKASI, LIKIOVATEKI MLIMANI WILAYANI GAIRO. Mkoa wa Geita ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania.Umepakana na Kagera upande wa magharibi, Shinyanga upande wa kusini na Mwanza upande wa mashariki. Mafunzo elekezi ya awali ya siku tano kwa watumishi wapya wa umma yameandaliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na chuo cha utumishi wa umma (TPSC) yakishirikisha watumishi wapya 107 kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa, ofisi za wakuu wa wilaya ya hospitli ya rufaa ya mkoa. Sakata la mauaji ya Twiga zaidi ya 25 kutokana na ujangili wilayani Longido Mkoani Arusha limeendelea kuchukua sura mpya baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kuunda kamati nyingine maalumu chini ya Mkuu wa Wilaya ya Longido James Mwaisumbe kushughulikia suala hilo. Picha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Haki Zote Zimehifadhiwa. Rais John Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mkuu wa Wilaya ya Arusha na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha. Mabingwa katika michezo hiyo wanatarajiwa kupata zawadi nono sana. Joseph alikamatwa na mkuu wa Wilaya ya Arusha Januari 5, … Wilaya Arusha Historia Viongozi Arumeru Historia Viongozi ... Ofisi ya Mkuu wa Mkoa . Elinipa Lupembe. Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Barua Pepe: ras@arusha.go.tz Mawaliliano mengine Sanduku la Barua: 3050 Arusha . Kayanda alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Karatu na anachukua nafasi ya Bi. Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Majimbo ya bunge. MKUUwa Wilaya ya Arusha Kennan Kihongosi ameishauri Mahakama kutoa elimu kwa wananchi katika ngazi za chini ili kufahamu haki na wajibu wao hasa katika masuala ya kesi. Mhe Iddi Hassan Kimanta Simu: 27 254 5608 . MWENYEKITI wa wakuu wa Wilaya katika Mkoa wa Arusha ambaye pia ni mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Rashid Taka wametoa pole kwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta pamoja na Watanzania wote kwa kuondokewa na mtendaji mkuu wa mkoa huo ambaye ni Katibu Tawala mkoa wa Arusha marehemu Richard Kwitega. Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Mhe. Na Ashura Mohamed -Arusha. Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya Arusha Saad Mtambule, anatoa pongezi za dhati kwa Rais wa awamu ya sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan aliyeapishwa mapema leo, masaa machache yaliyopita, Ikulu jijini Dar es Salaam. Mkoa wa Dodoma ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 41000.Uko katikati ya nchi na umepakana na mikoa ya Manyara, Morogoro, Iringa na Singida.. Eneo lote la mkoa lina km² 41,310. Wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo: Hai : mbunge … Enjoy the videos and music you love, upload original content, and share it all with friends, family, and the world on YouTube. Kuwa mstaarabu... Matokeo Ya Upimaji Wa Kitaifa Ya Kidato Cha Pili (Ftna) 2018 Na Darasa La Nne (Sfna) 2018 Yametangazwa BOFYA HAPA KUANGALIA MATOKEO ... BARAZA la Taifa la mitihani limetangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya shule ya Msingi (PSLE 2019 Examination Result). Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Hassan Kimanta akimuapisha kamishina msadizi wa polisi Edward Jotharm Balele kuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Juni 2020. Ateua wa kujaza nafasi hizo. Mkoa wa Manyara ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 27000.Umepakana na mikoa ya Arusha na Kilimanjaro upande wa kaskazini, Mkoa wa Tanga upande wa mashariki, Mkoa wa Dodoma upande wa kusini na mikoa ya Singida na Shinyanga upande wa magharibi.. Mkoa wa Manyara umetengwa na Mkoa wa Arusha mwaka 2002 kwa azimio la rais wa Jamhuri ya Muungano wa … Ameyasema hayo wakati akizungumza katika maadhimisho ya wiki na siku ya sheria nchini yaliyoadhimishwa kimkoa katika viwanja vya TBA mkoani Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Arusha amegomea ujenzi wa mabweni katika shule ya Sekondari Corona ambayo yamegharimu shilingi Milioni 160 na hayajakamilika. Mkuu wa Wilaya Amesema Takukuru wachunguze ujenzi huo na hatua zichukuliwe kwa wahusika watakaobainika wamehujumu fedha za Serikali. Theresia Jonathan Mahongo ambaye amestaafu. Wasifu