For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding. Paul Makonda (katikati) na Meneja wa QNET, kanda kusini ya Afrika Biram Fall (kushoto) wakikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya bidhaa za QNET 2019 jijini humo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amesema anatamani kukutanishwa na watu wanaobishana kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwa wanajadili mambo bila kuwa na uhalisia. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding. #LIVE : BLOCK 89 EXCLUSIVE INTERVIEW WITH DIAMOND PLATNUMZ & RC PAUL MAKONDA - 1 NOV. 2019 Binafsi namshauri Makonda afanye uamuzi mmoja nao ni kukubali kuweka wazi historia ya elimu yake basi kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu. Mimi Namshangaa sana Gwajima, hivi kama kweli yeye ni mchungaji, ni kwa nini baada ya kudai kuwa amedhalilishwa asingesamehe? We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one. Akizungumza na Nipashe jana, Sumaye alisema ingawa siku 14 zilizoombwa na Makonda kwa ajili ya kutafuta hatma ya shamba hilio zimeisha, hajachukua uamuzi wowote kuhusu suala hilo kwa sasa kwa sababu Makonda alishaahidi kulitafutia ufumbuzi. Power Breakfast ilikuwa hewani asubuhi ya leo February 26, mgeni rasmi ambaye alipata nafasi ya kufanya mahojiano ni Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Paul Makonda ambaye vyombo vya habari vilikuwa na headlines nyingi kuhusu yeye tangu siku ambayo alitangazwa kuwa DC mpya wa Wilaya hiyo. ina maana hakujifunza tu kwa pengo? JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic. Wako Vijana Na Watu Wazima Walioambukizwa Ujuha Na Viongozi Hasa Wa Kisiasa Wasioheshimu Mamlaka. Aliwahi kumchana Lowasa live, itakua Kubenea. Hivi nani anao uhakika kuwa Makonda kafoji vyeti?? Wazazi wake + malezi + kazi alizokwisha fanya itawapa picha kua ni mtu wa naamna gani? It may not display this or other websites correctly. Paul C Makonda The Great Sana. Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo tarehe 16 Aprili 2020, mbele ya Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika viwanja vya Karimjee. You must log in or register to reply here. Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni? Clip hiyo ikanikumbusha maneno aliyoniambia Paul Makonda mwaka 2009 wakati tunakwenda Dodoma. Jina Makonda analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Rai yangu, Historia ya Paul Makonda Iwasisimue (inspire)Vijana wanapokutana na changamoto kwenye maisha na kujifunza namna ya kushinda. Hawa Ni Kudeal Nao Hivihivi Kwanza Baada Ya Mwaka Watakuwa Wamerudi Kwenye Mstari, Simpendi makonda, hasa kuwa mtu wa kupenda masherehe sana wakati kipindupindu kikipiga kasi,eti sherehe ya kuwapongeza polisi, only in Tanzania unawafanyiaje sherehe watu wanaotimiza wajibu wanaopaswa kutimiza. Watu watakuja ponda hii mada yako, ila Makonda had good intentions, vyeti ni kitu gani kwani, hakuna evidence yeyote ya cheti chake hadi sasa. Obama na Makonda kufananisha ni sawa. Sasa hapa nimekuwekea video ujionee Khadija Kopa jinsi alivyotokwa na machozi baada ya kusikiliza historia ya mtoto […] Sio mkuu wa Mkoa. USHIRIKA ULIOKOPA BIL.24 “UKILIMA HEKALI 1 UNAPATA MIL.3,TUNAWAKARIBISHA WASOMI” - 40 mins ago KENYA YAZUIA MAHINDI KUTOKA TANZANIA KUINGIA NCHINI KWAO, BASHE AKASIRISHWA - 42 mins ago; Taarifa ya Habari ya Radio One Saa Saba Mchana, Machi 07, 2021. Suluhu hapa ni kukubali kusema ukweli. JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users.. JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you. Jana, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bwana Paul Makonda, alinukuliwa akieleza kuwa ameamua kujitoa mhanga, na kuwekeza nguvu zake katika vita dhidi ya madawa ya kulevya. You are using an out of date browser. 'Dar es salaam imekuwa ni lango la kupita na kupeleka madawa ya kulevya'- RC Makonda Na watu wanaojifanya washika dini ndio viumbe hatari sana duniani. Mnadai historia ya Tanzania ifundishwe na huku mnaficha data za Corona, Mashujaa 3 ambao historia ya Tanzania haitawasahau kamwe. Nchi Hii Kwa Ilivyo Sasa Inabidi Kutumia Style Ya Makonda Kwanza Ili Watu Wanyooke Na Wajue Kuna Serikali. Mkuu wa mkoa kijana wa mfano, katika fikra na kumbukumbu zangu na pengine labda ndo kijana wa kwanza alieiweza dar es salaam katika historian ya nchi hii. Kuhusu mkubwa nani kati ya DC na mbunge - hiyo equation haiko wazi; wawili hao wote wanatoka kwenye mihimili tofauti ya dola - Serikali (Makonda kama mkuu/rais wa wilaya), na Bunge (Kubenea kama mbunge/mwakilishi wa jimbo la wananchi). JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users.. JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you. Historia itakuza uzalendo au tujikite kupata katiba yakusimamia haki? - about 1 hour ago Gofu lenye historia ya kipekee ya biashara ya utumwa na pembe za ndovu - 3 … Sio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa. 20. Mkuu wa mkoa Dar es Saalaam Paul Makonda anasema sheria ya ndoa inampa kibali mwanamke kulalamika mahakamani anapokuwa amelaghaiwa. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) kimefuta picha za mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda walizoziweka katika mtandao yao ya kijamii akiwa pamoja na wafanyakazi wa kituo hicho. You MUST read them and comply accordingly. Read our Privacy Policy. Dawa za kulevya ni haramu ,na vyeti vya kufoji ni haramu pia. You are always welcome! Akishatangaza historia ya elimu yake, amwachie mteule wake Rais Magufuli aamue hatma yake kikazi. Read our Privacy Policy. Unakwama kuanzisha akaunti? ... Obama aliisifu Tanzania na kusema ni kama nyumbani kwake, kutokana na historia yake. First of all Fredy...hakuna hata mtu mmoja mwenye akili timamu ambae anabeza vita dhidi ya madawa ya kulevya... Iwapo kuna wanaloweza kujifunza vijana kutokana na hili suala la Makonda/Bashite/Paulo/Daudi, ni: Ni kweli lazima historia yake itusisimue...mtu aliyeweza kufanikiwa kuwalaghai Marais woote wawili,TISS e.t.c kupenya mpaka kuwa mkuu wa wilaya na Mkuu wa Mkoa bila cheti hata che elimu ya msingi? You are using an out of date browser. For anything related to this site please Contact us. Contact us. Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana: Jukwaa la Siasa: 625: Mar 8, 2017: Tanzania tuitumie historia ya John Okello na Che Guevera kama alama ya Utu na Uzalendo kwa nchi yetu: Jukwaa la Siasa: 2: Tuesday at 12:48 PM: Kwenye historia ya nchi yetu kuna mbunge amewahi peleka muswada na ukawa Sheria? Inakuwaje sasa: Mwigulu aendelee kuandika Sheria kwa Kiswahili na Ndalichako aendelee kuandika Upya Mtaala wa somo la historia? na je chama anachotoka kina maadili kiasi gani, kama kuna anayejua mririko aweke. Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mhe. Cha kwanza kukizungumzia ni historia ya maisha yake; “ Nina miaka miwili nimekaa Sinza lakini nimekaa … You are always welcome! We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually. For anything related to this site please Contact us. Fanya hivi... Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Jumapili iliyopita kwenye mahubiri ya ibada ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima alitoa madai mazito sana kwamba, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Paul Makonda (36) anatumia cheti cha kidato cha nne cha mtu anayeitwa Paul Christian Muyenge wakati yeye alianza darasa la kwanza mwaka 1988, akitumia jina … Wale waliokula chumvi nyingi nadhani wanaweza kuja na takwimu zaidi kutufahamisha kama katika historia ya maisha yao ni nani aliiweza dar kuliko makonda. Makonda amewataka watendaji wa Manispaa hiyo kwenda na kasi ya serikali ya kuwatendea haki wananchi katika kumaliza migogoro ya ardhi. Hivi mlivyokuwa mnasapoti lowasa kuitwa fisadi na baadaya hao wanafiki wakaja kukanusha wenyewe hamjiulizi kuwa mnadanganywa??? Simpendi huyu siyo cr?ative yeye anapenda kula kula tu na masherehe, Sitta alimuadopt kamsomesha hadi MUCCOBS. We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually. Asipojifunza kutulia na kumudu hasira zake, hataweza kufika mbali kisiasa....atatumiwa na baadae ataishia walikoishia wengine wengi....Frustations!!! Kwa upande wake Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amemshukuru RC Makonda kwa kuwajengea jengo hilo na kusema katika Miaka 50 BAKWATA haijawahi kuwa na jengo zuri na lakisasa Kama hilo hivyo RC Makonda anaweka historia ya kwanza. Sasa ni raia wa kawaida tu anayetafuta ajira ya … Juzi hivi nilipata kumsikiliza Mh Paul Makonda akielezea historia ya maisha yake iliyojaa changamoto nyingi. Sikuabliani na Magufuli kuhusu somo la Historia. Wewe ni mse?093ng,0713e. You MUST read them and comply accordingly. Aidha Makonda alisema kuwa anamfahamu historia ya vita dhidi ya madawa ya kulevya ya kuwa hakuna mtu aliyetoka salama. Sumaye amesema mustakabali wa shamba hilo ameuacha mikononi mwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. NI Novemba 5, 2019 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alitembelea hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam huku akiwa ameongozana na wasanii mbalimbali nia ya kuwajulia hali za wagonjwa pamoja na kutoa kile walichokiandaa. Fanya hivi... Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti? Kama utakuwa unakumbuka mnamo Mei 17, 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda aliingia kwenye headlines baada ya kuungana na chama cha Mafundi wa magari kutoka wilaya ya Kinondoni kuyatenengeza jumla ya magari 8 ambayo yalikuwa yamekaa kwa muda mrefu ofisini kwake. WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, amekosoa utaratibu uliotumika na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kutoa taarifa kuhusu kuambukizwa virusi vya corona kwa mtoto wa Mwenyekiti wa Kiongozi wa Kambi Rasmi ya … RC Makonda ametoa wito pia kwa Wale waliokimbilia mikoani kwa kuhofia Corona … It may not display this or other websites correctly. Mnadai historia ya Tanzania ifundishwe na huku mnaficha data za Corona, Mashujaa 3 ambao historia ya Tanzania haitawasahau kamwe. Cheti cha Form four kinasomeka Paul C Muyenge lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka Paul C Makonda baada ya kuapa mahakamani. JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic. MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewataka vijana kuwa wabunifu na kupambana kwa ajili ya kufikia malengo yao badala ya kusubiri kusaidiwa. Pia amesema Tulikubali makao makuu ya nchi yetu yawe Dodoma tuwe na eneo maalum na mahususi kwaajili ya kutenga na kuwahifadhi na kuwazika viongozi wetu waliofanya jambo kubwa katika historia ya maisha yetu ili iwe kumbukumbu kwa kizazi na kizazi kitakwenda na kusoma historia zao na kujua nini walifanya katika taifa letu,” alisema Makonda. We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one. History is a witness. DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo. Mungu wetu anatufundisha Upendo, ni kwa nini asihubiri Upendo? Inakuwaje sasa: Mwigulu aendelee kuandika Sheria kwa Kiswahili na Ndalichako aendelee kuandika Upya Mtaala wa somo la historia? Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na wakazi wa Mbezi na Kawe Ukwamani ambao nyumba zao zilibomoka kutokana na mmomonyoko wa ardhi uliosababishwa na shughuli za kibinadamu kama vile uchimbaji wa mchanga katika mto huo hali iliyosababisha kingo za mto huo kupanuka hadi kwenye makazi ya watu. Mlikuwa hamjui DC ni Mkubwa kupita Mbunge.... Hongera MAKONDA kaza uzi...wakileta UJINGA tupa LUPANGOooo........ WAKIWA hao..... pia inasemekana hamjui baba yake halali ni yupi. Video: Ombi la Makonda kwa Rais Magufuli wakati wa kuaga mwili wa Samuel Sitta 4 years ago Leo Novemba 11, 2016 viongozi wa Serikali wameungana na Wananchi wa Dar es salaam na Watanzania wote kuaga mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta kisha kuelekea Urambo, Tabora ambako mwili wake utaenda kuhufadhiwa. Historia itakuza uzalendo au tujikite kupata katiba yakusimamia haki. Mjadala JPM kuongezewa muda uachwe huru – Butiku Bunge lazidi kuwakingia kifua waliofukuzwa Chadema Katiba Mpya, Tume Huru,Masheikh Uamsho, vyatikisa Bunge Lissu abadili mbinu kumng’oa Mdee, wenzake bungeni Lema arusha dongo bungeni Miaka 44 ya CCM: Dk. Aliwahi kuiba simu BMK kabla hajampiga kabari mzee Warioba pale Ubungo na hatimae kuzawadiwa uDC kino kwa kazi nzuri. 19. na je serekali ina vyombo vya kuchunguza wafanya kazi kabla ya kuteuliwa, na vipo vitakua na udhaifu kiasi gani? Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni? mbona yeye alimtukana PENGO lakini Pengo alimsamehe tu? Mpendazoe kaandika iliyo kweli, ila wajinga kama wewe ndiyo mnachangia vijana wengi kuharibika, ukome kabisa kutukana wazee kama akina Mpendazoe, mnafiki mkubwa wewe, weka vyeti mezani tuone hakuna kumuonea mtu huruma, Hebu mwenye bandiko fikiria kuhusu heading ya hili bandiko.ongeza. JavaScript is disabled. Contact us. Ndugu Daudi Albert Bashite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. MAKONDA MTAMPENDA TU! Paul Christian Bashite is the Former Regional Commissioner of Dar es Salaam, Tanzania. Paul Makonda amewaelekeza Watu wote waliofunga Hotel, Migahawa na sehemu za biashara kutokana na hofu ya Corona kuzifungua na kuanza kazi kama kawaida huku akiwataka waendelea kuchukuwa tahadhari kwa kufuata maelekezo ya Wizara ya Afya. Nawachukia sana wanafiki kama ninyi. Ka Humpendi Dadako Na Mamako Na Mkeo Wanampenda! Rai yangu, Historia ya Paul Makonda Iwasisimue (inspire)Vijana wanapokutana na changamoto kwenye maisha na kujifunza namna ya kushinda. Kama ni Uzalendo, watoto watajifunza kwenye somo la URAIA. You must log in or register to reply here. Wenye hasira na Paul Makonda, huu ndio muda wa kumalizana naye. DAR ES SALAAM: Sintofahamu! Makonda amesema hayo leo Ijumaa Februari 14, 2020 wakati akihojiwa katika kipindi cha 360 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds TV. Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana. Aidha RC Makonda amewaomba Viongozi wa Dini kuendelea kuliombea Amani Taifa na viongozi wake. Kati ya magari nane yaliyochukuliwa na chama hicho kwaajili matengenezo mpaka […] MAELFU ya wajane wa Mkoa wa Dar es Salaam wamemiminika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, kuitikia wito wa Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda, kwa ajili ya … Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana. Wote walioanzisha mapambano haya hawakutoka salama, wengi waliuwawa, wengine walifungwa na wengine walipata matatizo mbalimbali sababu wahusika wa biashara hii ni watu wenye nguvu. Wakati huohuo vita dhidi ya maambukizi ya corona vimeimarishwa baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kutangaza vituo vya Afya na hospitali …
Ab Wann Sucht Polizei Vermisste Person,
Distance From Timboroa To Eldoret,
Watoto Wa Maalim Seif,
Decision Analytics Case Study,
Corona Hessen Aktuell,
Main Post Trauer,
перевод песни Stuck With Me,